Albamu ya Video

  • Wadau wakaribishwa kupata leseni za uvuvi wa bahari kuu

    Wadau wakaribishwa kupata leseni za uvuvi wa bahari kuu

    July 09, 2020

    Mamlaka ya Usimamizi wa Uvuvi wa Bahari Kuu (DSFA) yawakaribisha wadau kupata leseni kwa ajili ya uvuvi wa bahari kuu pamoja na kufahamu huduma mbalimbali zinazotolewa zikiwemo za mawasiliano.

  • MKUTANO WA NCHI ZINAZOPAKANA NA ZIWA VICTORIA

    MKUTANO WA NCHI ZINAZOPAKANA NA ZIWA VICTORIA

    July 09, 2020

    Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega anaeleza mambo waliyokubaliana kwenye Mkutano wa Viongozi wa nchi zilizopo karibu na Ziwa Victoria.

  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi (SABASABA 2020)

    Wizara ya Mifugo na Uvuvi (SABASABA 2020)

    July 09, 2020

    Fahamu mambo mbalimbali ambayo utayaona na kuyajua kwa kina upande wa Sekta ya Uvuvi pindi ukifika ndani ya banda la Mifugo na Uvuvi kwenye Maonesho ya SabaSaba 2020 hapa jijini Dar-es-Salaam.

  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi (SABASABA 2020)

    Wizara ya Mifugo na Uvuvi (SABASABA 2020)

    July 09, 2020

    Tazama mambo ambayo utayapata pindi ukitembelea banda la maonesho la Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwenye Maonesho ya SabaSaba 2020 jijini Dar-es-Salaam.

  • Tazama namna Wizara ya Mifugo na Uvuvi ilivyogawa jumla ya vifaranga 650 jijini Dodoma leo!

    Tazama namna Wizara ya Mifugo na Uvuvi ilivyogawa jumla ya vifaranga 650 jijini Dodoma leo!

    July 09, 2020

    Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia Idara ya Uzalishaji na Masoko leo imegawa jumla ya Vifaranga 650 na nyenzo nyingine za kusaidia ufugaji wa vifaranga hao vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya Shilingi milioni mbili (2) kwa kikundi cha Vijana cha ASACRI YOUTH GROUP kwenye hafla iliyofanyika katika Ofisi za Jiji la Dodoma.

.