Albamu ya Video

  • Angalia hapa namna Chato itakavyokuwa na kituo kikubwa zaidi cha kukuzia Viumbe Maji Tanzania

    Angalia hapa namna Chato itakavyokuwa na kituo kikubwa zaidi cha kukuzia Viumbe Maji Tanzania

    July 09, 2020

    Wizara ya Mifugo na Uvuvi yaanza ujenzi wa kituo hicho chenye thamani ya shilingi bilioni 3.8

  • Malengo ya kisekta kwenye mifugo na uvuvi kufikia katika uchumi wa kati!

    Malengo ya kisekta kwenye mifugo na uvuvi kufikia katika uchumi wa kati!

    July 09, 2020

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani, Mhandisi Mshuma Ndume amesema Wizara ya Mifugo na Uvuvi imedhamiria kufikia malengo ya kisekta katika uchumi wa kati kutokana na wizara hiyo kuweka mikakati ya kuinua uchumi wa mwananchi na taifa kwa ujumla. Amebainisha hayo wakati Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti, Mafunzo na Ugani kutoka katika wizara hiyo Dkt. Angello Mwilawa kuongoza wakufunzi kutoka Wakala ya Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo nchini (LITA) katika mafunzo ya ufugaji bora wa kuku kwa wafugaji wa wilaya hiyo

  • Waziri Mpina awapongeza wajumbe waliomaliza muda wao

    Waziri Mpina awapongeza wajumbe waliomaliza muda wao

    July 09, 2020

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina amewashukuru wajumbe waliomaliza muda wao kutoka Baraza la Vetarinari Tanzania, bodi ya Wakala wa Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo nchini (LITA) na Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU kwa kutekeleza majukumu yao vizuri.

  • Waziri Mpina aagiza kuchukuliwa hatua za kisheria, maafisa mifugo wasiyo na sifa!

    Waziri Mpina aagiza kuchukuliwa hatua za kisheria, maafisa mifugo wasiyo na sifa!

    July 09, 2020

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina akizungumza na Baraza la Veterinari Tanzania jijini Dodoma na kuagiza kuchukuliwa hatua za kisheria kwa maafisa mifugo nchini wasiyo na sifa na wanaotoa huduma kwa wananchi bila vibali wala kuthibitishwa.

  • Nchi zilizopo eneo la Ziwa Victoria zaweka mikakati endelevu ya ziwa hilo.

    Nchi zilizopo eneo la Ziwa Victoria zaweka mikakati endelevu ya ziwa hilo.

    July 09, 2020

    Viongozi na watendaji wa umoja wa nchi zilizopo eneo la Ziwa Victoria wamefanya mkutano usiyokuwa wa kawaida kwa njia ya video ambapo wamekubaliana matumizi bora ya ziwa hilo.

.