SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI
SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI
01 May, 2025 - 02 May, 2025
08:59:00 - 16:00:00
Dodoma
Omary Mtamike
Kuelekea katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani (maarufu kama Mei Mosi),Mkoa wa Singida unatarajiwa kuwa mwenyeji wa maadhimisho hayo nchini Tanzania yatakayofanyika Tarehe Mosi mwezi Mei 2025.
Taarifa hiyo imetolewa leo Machi 11, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe.Halima Dendego wakati akizungumza na wadau wa kamati ya maandalizi ya maadhimisho hayo kimkoa na Kitaifa katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.
