Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mifugo na Uvuvi

SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI

01 May, 2025 - 02 May, 2025
08:59:00 - 16:00:00
Dodoma
Omary Mtamike

Kuelekea katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani (maarufu kama Mei Mosi),Mkoa wa Singida unatarajiwa kuwa mwenyeji wa maadhimisho hayo nchini Tanzania yatakayofanyika Tarehe Mosi mwezi Mei 2025.

Taarifa hiyo imetolewa leo Machi 11, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe.Halima Dendego wakati akizungumza na wadau wa kamati  ya maandalizi ya maadhimisho hayo kimkoa na Kitaifa katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI
Mrejesho, Malalamiko au Wazo