Albamu ya Video

  • SHIRIKA LA MAENDELEO LA UFARANSA LIMEPANGA KUWEKEZA KWENYE SEKTA YA UVUVI NCHINI TANZANIA

    SHIRIKA LA MAENDELEO LA UFARANSA LIMEPANGA KUWEKEZA KWENYE SEKTA YA UVUVI NCHINI TANZANIA

    October 24, 2022

    SHIRIKA LA MAENDELEO LA UFARANSA LIMEPANGA KUWEKEZA KWENYE SEKTA YA UVUVI NCHINI TANZANIA

  • SERA YA TAIFA YA MIFUGO YA 2006 KUBORESHWA

    SERA YA TAIFA YA MIFUGO YA 2006 KUBORESHWA

    October 24, 2022

    SERA YA TAIFA YA MIFUGO YA 2006 KUBORESHWA

  • SERIKALI YAWAHAKIKISHIA WAWEKEZAJI MAZINGIRA MAZURI YA UWEKEZAJI NCHINI

    SERIKALI YAWAHAKIKISHIA WAWEKEZAJI MAZINGIRA MAZURI YA UWEKEZAJI NCHINI

    October 24, 2022

    SERIKALI YAWAHAKIKISHIA WAWEKEZAJI MAZINGIRA MAZURI YA UWEKEZAJI NCHINI

  • IPINDI: UBORESHAJI WA MIFUGO KWA NJIA YA UNENEPESHAJI

    IPINDI: UBORESHAJI WA MIFUGO KWA NJIA YA UNENEPESHAJI

    October 24, 2022

    Karibu katika kipindi hiki kinacholetwa kwako na Wizara ya Mifugo na Uvuvi ambapo utapata fursa ya kufahamu namna ya kuboresha mifugo kwa njia ya unenepeshaji huku tukijikita zaidi kwenye Mkoa wa Katavi..Endelea kutazama.

  • KIPINDI UFUGAJI SAMAKI KWENYE MAENEO YENYE UKAME NA OEVU

    KIPINDI UFUGAJI SAMAKI KWENYE MAENEO YENYE UKAME NA OEVU

    October 24, 2022

    Ufugaji wa samaki si jambo geni hata kidogo masikioni mwetu na wengi tunatambua kuwa ni shughuli inayohamkikishia mfugaji kipato na lishe mara baada ya kuvuna samaki hao.. Lakini mara nyingi tumezoea kuona shughuli hiyo ikifanyika maeneo yenye upatikanaji wa maji ya kutosha kwa kipindi chote cha mwaka jambo lililotufanya wengi tuamini kuwa maeneo kame hayawezi kufanyika shughuli hiyo na ubunifu mwingine wa kitaalam unaomuwezesha mfugaji wa samaki kufanya shughuli hiyo na kulima mpunga katika eneo moja na kwa wakati mmoja au watalaam wanaita “Samaki Mpunga”.

.