Nifanyeje?
- Zipi sifa za kuorodheshwa kama msaidizi wa mtaalam wa mifugo? (Enlisted Paraprofessional Assistant)
- Zipi sifa za kujiandikisha kama mtaalam msaidizi wa mifugo? (Enrolled Paraprofessional).
- Daktari wa mifugo asiye mtanzania (Foreigner) anasajiliwa vipi na Baraza.
- Daktari wa mifugo asiye Mtanzania anaweza kusajiliwa na kufanyakazi hapa nchini? (Temporary and permanent registration)?
Albamu ya Video
-
Ufunguzi wa shamba la Samaki Kigamboni
June 17, 2020Ni lile linalofuga samaki kwa njia za kisasa
-
Mgogoro wa Ng’ombe 336 zilizokamatwa eneo la pori la Akiba la Maswa kutatuliwa !
June 17, 2020Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Luhaga Mpina atatua mgogoro wa Wafugaji waliokamatwa na ng’ombe 336 ndani ya pori la Akiba la Maswa Mkoani Simiyu.
-
Waziri Mpina azindua josho la Nyakabindi - Simiyu
June 17, 2020Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Luhaga Joelson Mpina azindua josho la kuogeshea mifugo la Nyakabindi tarehe 11/02/2020 Mkoani Simiyu, asisitiza wafugaji kutunza miundo mbinu inayowekwa.
-
Namna Mawaziri Watatu walivyokutana kutangaza Utalii wa Fukwe!
June 17, 2020Ni katika Kisiwa cha Sinda
-
YALIYOJIRI MWEZI JANUARI 2020
June 17, 2020Karibu mtazamaji wa mifugouvuvi Online Tv katika kipindi hiki cha "Yaliyojiri" ambapo kitakuwa kinakukusanyia baadhi ya matukio muhimu ambayo yamefanywa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi yanayoshirikisha viongozi, taasisi na idara zilizo chini ya wizara hii. Katika kipindi ungana na Afisa Habari wa wizara hii Omary Mtamike ambaye anakufahamisha baadhi ya matukio muhimu yaliyojiri kwa Mwezi Januari Mwaka 2020.