Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mifugo na Uvuvi

UWEZESHAJI

Imewekwa: 25 March, 2025
UWEZESHAJI

Wizara inawawezesha wadau wake waliopo kwenye sekta za Mifugo na Uvuvi kupitia Dawati lake la Sekta binafsi ambalo linawaunganisha wadau hao na Taasisi za fedha nchini. Aidha Wizara inawawezesha wataalam wake elimu na vitendea kazi ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.

Mrejesho, Malalamiko au Wazo